Circle Gallery


PICHA 10: Maziko Kagera ya Mwalimu aliyefariki ajali Arusha

on
May 9, 2017 mwili wa aliyekuwa Mwalimu wa Shule ya St. Lucky Vicent, Arusha, Innocent Papian aliyefariki akiwa na umri wa miaka 25, umezikwa nyumbani kwao Kagera kwenye kijiji cha Nyakatete, Kata ya Mabira, wilayaniKyerwa, Mkoa wa Kagera.
millardayo.com na AyoTV zilikuwepo na hivi ndivyo ilivyokuwa.
VIDEO
https://matowoblog.blogspot.com/2017/02/blog-post.html

Kupata Taarifa Kwa Haraka Jiunge WhatsApp HAPA CHINI

https://matowoblog.blogspot.com/2017/02/blog-post.htmlhttps://matowoblog.blogspot.com/2017/02/blog-post.html

Hakuna maoni: