Hii ni kutoka Bungeni Dodoma leo May 10, 2017 ambapo Mbunge wa Geita Joseph Musukuma alilieleza Bunge kuwa karibu Wabunge wote wakati wa Uchaguzi mkuu waliwatumia Waganga wa kienyeji, hii video hapa chini ina kila kitu
VIDEO: Musukuma alipua Bungeni Wabunge kwenda kwa Waganga
Reviewed by MKALIMANGI BLOG
on
Mei 10, 2017
Rating: 5
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni